Tazama Taswira ya shoo ya P-Square katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders jana usiku Jijini Dar es Salaam. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, November 24, 2013

Tazama Taswira ya shoo ya P-Square katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders jana usiku Jijini Dar es Salaam.

Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square wakilivamia jukwaa la Leaders usiku wa Jana (Novemba 23,2013) .…Jijini Dar es Salaam.

Mashabiki wakipagawa na shoo ya P-Square….katika Viwanja vya  Leaders usiku wa Jana (Novemba 23,2013) .…Jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club jana.
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club Jana usiku (Novemba 23,2013)  katika shoo wa wakali P-Square.…
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders usiku wa jana katika shoo ya P-Square Live in Dar.…
Ben Pol akiimba sambamba na mwanadada… katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders jana usiku katika shoo ya P-Square Live in Dar.…
Mwanamuziki Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao…stejini kabla P-Square hawajapanda .
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad