Huu ndio Ujasiri wa mpiga-picha Joseph Mathenge katika shambulio la Westgate Mall. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, September 25, 2013

Huu ndio Ujasiri wa mpiga-picha Joseph Mathenge katika shambulio la Westgate Mall.

Joseph Mathenge.
Matukio ndani ya jumba la kibiashara la Westgate yamesalia tu mingong'ono na kubahatisha huku waandishi wa habari wakiwekwa mbali kabisa na eneo la mkasa.

Lakini kiza hicho kimekatizwa na ujasiri wa mkenya mmoja, Joseph Mathenge, ambaye alihimili milio ya risasi ili kuweza
kunasa picha za video na zinginezo ambazo zimejuza ulimwengu mzima jinsi mambo yalivyokuwa ndani ya jumba la Westgate pamoja na shughuli za uokoaji.

Mwanahabari wa runinga ya The Citizen, Faiza Maganga anatupasha zaidi katika video iliyopachikwa hapo chini.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad