VIDEO: Neymar aking'ara katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mabara na a bao lake la mapema wakati Brazil inailaza 3-0 Japan. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, June 16, 2013

VIDEO: Neymar aking'ara katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mabara na a bao lake la mapema wakati Brazil inailaza 3-0 Japan.




Kipa wa Japan akiruka bila matumaini Hapo jana (Juni 15,2013) Usiku  pale Wenyeji  Brazil walianza kwa kishindo Mechi yao ya KUNDI A iliyochezwa uwanja wa Estadio Nacional de Brasilia Mjini Brasilia kwa kuwatandika Mabingwa wa Asia Japan Bao 3-0.




Wachezaji wa Brazili wakishangilia mabao kwa wakati tofauti ndani ya uwanja wa Estadio Nacional de Brasilia Mjini Brasilia kwa kuwatandika Mabingwa wa Asia Japan Bao 3-0.

Hapo jana (Juni 15,2013) Usiku kwenye mchezo wa Ufunguzi wa Kombe la MABARA ,Wenyeji  Brazil walianza kwa kishindo Mechi yao ya KUNDI A iliyochezwa uwanja wa Estadio Nacional de Brasilia Mjini Brasilia kwa kuwatandika Mabingwa wa Asia Japan Bao 3-0.




Bao za Brazil zilifungwa na Neymar, kwa Bao safi sana la Dakika ya 3 tu, na Paulinho kupiga Bao la Pili katika Dakika ya 48 na Jo kufunga la mwisho katika Dakika za Majeruhi.




Leo (JUNI 16,2013) Usiku zipo Mechi mbili kati ya Mexico v Italy, KUNDI A kasha  kufuatiwa na Mechi ya  KUNDI B kati ya Mabingwa wa Dunia Spain v Uruguay.





MAKUNDI: - KOMBE LA MABARA



KUNDI A:



-Brazil

-Japan

-Mexico

-Italy



KUNDI B:



-Spain

-Uruguay

-Tahiti

-Nigeria



RATIBA/MATOKEO:- JUNI 16,2013.




Saa 4 Usiku



Mexico v Italy [Rio De Janeiro]



Saa 7 Usiku



Spain v Uruguay [Recife]




JUNI 17,2013.


Saa 4 Usiku



Tahiti v Nigeria [Belo Horizonte]




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad