![]() |
|
Basi aina ya
Coaster likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali kutokea eneo la Mboga karibu na Chalinze na watu
kadhaa Kujeruhiwa Vibaya.
|
![]() |
|
Pichani ni
Namba za gari ndogo iliyosababisha ajali hiyo.
|
![]() |
|
Majeruhi wa
Ajali hiyo wakiwahishwa Hospitalini kupata matibabu.
|
![]() |
|
Pichani
ni Kichwa cha Lori kilichogongana na Coaster.
|
![]() |
|
Hawa ni
Vibaka waliokamatwa wakitaka Kuiba Mali za Abiria.
|
![]() |
|
Wanaonekana
ni Majeruhi wa Ajali hiyo akiwemo Konda wa basi hilo dogo alietenguka Kiuno na
Mama aliyekatika mguu.
|
![]() |
|
Pichani
ni Jina la COASTER hiyo iliyopata
ajalai.
|
Picha kwa
hisani ya djsek blog.
















No comments:
Post a Comment