Mikoa 10 inyoongoza kwa maambukizi ya VVU (HIV):-
2. Iringa (9.1%)
3. Mbeya (9%)
4. Mara (7.5%)
5. Ruvuma (7%)
6. Dar es Salaam (6.9%)
7. Rukwa (6.2%)
8. Katavi (5.9%)
9. Pwani (5.9%) na
10.
Tabora (5.1)Mikoa 5 inayoongoza kwa mwanaume mmoja kutembea na zaidi ya wanawake watano:-
1. Geita (32%)
2. Lindi (30%)
3. Dar es Salaam (29%)
4. Iringa (27%) na
5. Mtwara (22%)
Mikoa 5 inayoongoza kuwa na wanaume wasiotahiriwa ni:-
1. Njombe (49%)
2. Katavi (44%)
3. Kagera (39%)
4. Mbeya (38) na
5. Rukwa(28%).
Kwa mujibu wa utafiti, hali ya maambukizi imepungua ambapo idadi ya watu na maambukizi ni asilimia 5.1 kutoka 5.8 ya mwaka 2008.






No comments:
Post a Comment