![]() |
| Rais Uhuru Kenyatta |
Mawaziri
hao wanne ni pamoja na :-
Dkt.
Fred Okeng'o Matiangi :- ambaye ni waziri mteule wa Teknolojia na Mawasiliano.
Bw.Henery
Rotich :- ameteuliwa wizara ya Fedha.
Bw.
James Wanaina Macharia :- ndiye Waziri mteule wa Afya.
Balozi
Amina Mohammed :- ametangazwa Waziri wa mambo ya kigeni.
Ilitarajiwa
kwamba Rais Kenyatta angewataja mawaziri wote 18, lakini amesema wengine
watatangazwa baadaye na kuomba taifa kuwa na subira.
Huku
haya yakiarifiwa Bunge la Kenya limeidhinisha kamati maalum ambayo itawachuja Mawaziri
watakaoteuliwa na Rais.
kamati hiyo inaoongozwa na Spika wa Bunge
Justin Muturi.
Chini
ya katiba ya Kenya sharti Bunge lipitishe majina ya maafisa wakuu wa serikali,
wakiwemo Mawaziri, Mabalozi na Wakuu wa
tume za Kikatiba.






No comments:
Post a Comment