![]() |
|
Huku haya
yakiarifiwa Rais Barack Obama anatarajiwa kuzuru Boston hapo Alhamisi kwa
maombi maalum ya kuomboleza vifo hivyo.Obama pia atawahutubia waathiriwa na
jamaa zao.
|
![]() |
|
Mwandishi wa
BBC mjini Boston anasema mkesha wa maombi kwa waathirka ulifanyika hapo
Jumanne, huku wenyeji wakitafakari sababu za kutaka kulenga mbio hizo ambazo
huwa kivutio cha wengi.
|
![]() |
|
Madaktari
wanaowahudumia majeruhi wamesema bomu hilo lilikua na vyuma, na vipande vya
makombora. Majeruhi kadhaa wamekatwa miguu na mikono.
Chanzo:BBC
SWAHILI
|












No comments:
Post a Comment