Matokeo hayo yanamaanisha, Azam FC waliokuwa washindani wakuu wa Yanga SC yenye pointi 56, hawawezi tena kufikisha pointi hizo ambazo wanazo mabingwa hao wapya, kwani hata wakishinda mechi zao nyingine mbili zilizobaki, watamaliza na pointi 54.
Mchezaji
aliyepeleka shangwe na vigelegele Jangwani leo ni Danny Lyanga, ambaye
aliifungia Coastal bao la kusawazisha dakika ya 72 ya mchezo huo.
| Azam FC |
Matokeo haya
yanakuwa sawa na Coastal kulipa fadhila kwa Yanga, kwani hata wao, ubingwa wao
pekee wa Ligi Kuu waliochukua mwaka 1988 ulitokana na ‘msaada’ wa wana Jangwani
huo.
ORODHA
MABINGWA WA JUMLA LIGI KUU.
1965 :
Sunderland (Dar es Salaam)
1966 :
Sunderland (Dar es Salaam)
1967 :
Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 : Yanga
1969 : Yanga
1970 : Yanga
1971 : Yanga
1972 : Yanga
1973 : Simba
1974 : Yanga
1975 : Mseto
SC (Morogoro)
1976 : Simba
1977 : Simba
1978 : Simba
1979 : Simba
1980 : Simba
1981 : Yanga
1982 : Pan
African
1983 : Yanga
1984 : Simba
1985 : Yanga
1986 :
Tukuyu Stars (Mbeya)
1987 : Yanga
1988 :
Coastal Union (Dar es Salaam)
1989 : Yanga
1990 :
Simba
1991 : Yanga
1992 : Yanga
1993 : Yanga
1994 : Simba
1995 : Simba
1996 : Yanga
1997 : Yanga
1998 : Yanga
1999 :
Mtibwa Sugar (Morogoro)
2000 :
Mtibwa Sugar (Morogoro)
2001 : Simba
2002 : Yanga
2003 : Simba
2004 : Simba
2005 : Yanga
2006 : Yanga
2007 : Simba
(Ligi Ndogo)
2008 : Yanga
2009: Yanga
2010: Simba
SC
2011: Yanga
SC
2012: Simba
SC
2013: Yanga
SC
![]() |
| Yanga |
Hili
linakuwa taji la 24 kwa Yanga, tangu watwae kwa mara ya kwanza mwaka 1968.
Aidha, huu
unakuwa msimu wa pili mfululizo, Azam wanaukosakosa ubingwa wa Ligi Kuu, baada
ya msimu uliopita pia kuzidiwa kete na Simba SC.








No comments:
Post a Comment