Cardinal Jorge Mario Bergoglio |
Papa Mpya
alichaguliwa katika duru ya tano ya upigaji kura uliofanywa na makadinali 115
waliokuwa wakikutana katika kanisa la Sistine Chapel huko Vatican ,Jijini Roma.
Kwa wakati
huu mbali na maelfu ya watu waliokusanyika eneo la St. Peters huko Vatican jina
la Papa mpya ,atakuwa ni Baba Mtakatifu Francis.
Bergoglio
will become the first pope from Latin America. He won the necessary two-thirds
vote after only two days of the conclave. Several other candidates were
considered front runners, including Cardinal Peter Kodwo Appiah Turkson, who
would have become the first African pope in modern times.
Kadinali Jorge Mario Bergoglio |
Ni padre wa
shirika la Majesuit akipata elimu yake katika chuo kikuu cha Buenos Aires
Kabla ya
kuchaguliwa leo kua Papa alikua askofu mkuu wa Buenos Aires tangu mwaka 1998 na
mwaka 2001 aliteuliwa kua Kadinali na Papa John Paul II.
Ni papa wa
Kwanza kutoka bara ambalo lina aminika kua na waumini wengi wa Kanisa Katoliki
(Latin America) akichagua jina la Francis I akifata mfano wa Mtakatifu Francis
wa Asis mwanzilishi wa shirika la watawa wakapuchini.
Papa Francis
amechaguliwa kufatia kujiuzulu wadhifa wa upapa kwa aliyekua Mtangulizi wake
Papa Benedict XVI ambapo habari zinasema kua Papa huyu alishika nafasi ya Pili
mwaka 2005 wakati Papa Benedict alipochaguliwa.
No comments:
Post a Comment