PICHA:Manchester United 1-2 Real Madrid,Real Madrid sasa wanasonga mbele kuingia hatua ya Robo Fainali - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, March 06, 2013

PICHA:Manchester United 1-2 Real Madrid,Real Madrid sasa wanasonga mbele kuingia hatua ya Robo Fainali


Mourinho: "Modric was crucial because he changed the match"



Real Madrid sasa wanasonga mbele kuingia  hatua ya  Robo Fainali na kuacha mjadala mkubwa kuhusu uhalali na kama ni haki kwa Refa toka Uturuki, Cuneyt Cakir, kutoa Kadi Nyekundu kwa Nani na kuwavuruga Man United na kuirahisishia Real kupata ushindi.


Kwa matokeo hayo Manchester United  sasa wametupwa  nje ya Mashindano ya  UEFA  kwa Jumla ya Bao 3-2 katika Mechi mbili na Real Madrid .






Katika mchezo mwingine wa UEFA wa hatua ya 16  bora,Borussia Dortmund walipata ushindi  wa bao 3-0  na kuwafanya Borussia Dortmund kutinga Robo Fainali kwa kuitoa Shakhtar Donetsk katika Mechi ya Marudiano kwa Jumla ya Bao 5-2 katika Mechi mbili.




Roman Weidenfeller
Bao 2 ndani ya Dakika 6 za Felipe Santana na Mario Goetze na Bao la 3 la Jakub Blaszczykowski liliwahakikishia Dortmund ushindio huo.



RATIBA:



Jumatano 6 Machi 2013


Juventus v Celtic [3-0]

Paris St Germain v Valencia [2-1]



Jumanne 12 Machi 2013


Barcelona v AC Milan [0-2]

Schalke v Galatasaray [1-1]



Jumatano 13 Machi 2013


Bayern Munich v Arsenal [3-1]

Malaga v FC Porto [1-0]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad