Watu wanane wamekufa maji na wengine 60 kuokolewa katika ajali ya boti iliyozama kwenye ziwa Tanganyika mkoani Katavi wakati ikitokea mkoa wa Katavi kuelekea Nchini Burundi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, January 04, 2013

Watu wanane wamekufa maji na wengine 60 kuokolewa katika ajali ya boti iliyozama kwenye ziwa Tanganyika mkoani Katavi wakati ikitokea mkoa wa Katavi kuelekea Nchini Burundi.


Watu wanane wamekufa maji na wengine 60 kuokolewa katika ajali ya boti iliyozama kwenye Ziwa Tanganyika mkoani Katavi wakati ikitokea Mkoa wa Katavi kuelekea Nchini Burundi.

 

Chanzo cha ajali hiyo kimelezwa kuwa ni upepo mkali uliopiga boti hiyo na kugonga mwamba na baadaye kuzama.


Aidha jumla ya watu 25 bado hawajulikani walipo kufuatia ajali hiyo.


Habari:Radio Kwizera.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad