Hivi ndivyo Bus la NewForce lilivyopinduka kijiji cha Nyororo mkoani Iringa. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 06, 2013

Hivi ndivyo Bus la NewForce lilivyopinduka kijiji cha Nyororo mkoani Iringa.


Kama inavyoonekana pichani Bus la NewForce likiwa limepinduka kijiji cha nyororo mkoani Iringa.


Bus la NewForce likivutwa ili likae sawa barabarani baada ya ajali.


Mizigo ikitolewa ndani ya Bus baada ya kupinduka

Mwanamke anaonekana kwa mbali hapo akiwa ameanguka kutokana na bus kupinduka hivyo kukosa mwelekeo wa kujiokoa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad