Twasema Kheri Ya Sikuu Ya MIAKA 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, January 12, 2013

Twasema Kheri Ya Sikuu Ya MIAKA 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Ngarawa mbili za mbele zikichuana

 vikali katika mashindano yalio fanyika

 huko forodha mchanga ikiwa ni

shamra shamra za miaka 49

ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Kwa niaba ya wadau wote  wa blog ya ‘’MWANA WA MAKONDA’’ , twasema Kheri Ya Sikuu Ya MIAKA 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 


 Tunataraji wadau wa maendeleo huko Zanzibar na Tanzania yote kwa ujumla wataitumia siku hii kukaa pamoja na  kutafakari mapinduzi ya kweli tunayoihitaji katika nchi yetu ili kuboresha maisha na uchumi wetu ili tufika mbali zaidi ya hapa tulipo leo.

 


Ngarawa mbili za mbele zikichuana

 vikali katika mashindano yalio fanyika

 huko forodha mchanga ikiwa ni

shamra shamra za miaka 49

ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Tujifunze mazuri toka kwa viongozi waliotangulia ili Tuifanye nchi yetu kuwa ya Amani na Utulivu wakati wote’’. 



Aidha Mwana wa Makonda Blog, itazidi  kukuletea habari ili kujua wenzetu wapo wapi, walifikaje na wanaelekea wapi Katika maendeleo ya nchi.





Pamoja Daima.

MOHAMED R. MAKONDA
DIRECTOR-MWANAWAMAKONDA BLOG

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad