![]() |
Marehemu Omari Omari |
Marehemu
Omari Omari aliugua kwa muda mrefu ambapo hata siku chache zilizopita
alishindwa kumaliza show yake aliyokua nayo Mbagala, alipanda kwenye stage na
kuimba wimbo mmoja tu baada ya hapo akashuka na kuanza kutapika.
Omari Omari
aliyetamba na wimbo “Kupata Majaaliwa” ndani yake kukiwa na mstari mkali
unaosema ndefu amekosa ng’ombe lakini mbuzi kapewa, alifariki katika hospitali
kuu ya Temeke baada ya kuugua ugonjwa wa kifua kikuu. Msiba uko Temeke
Mikoroshini nyumbani kwa baba yake.
No comments:
Post a Comment