Lionel Messi wins 2012 FIFA Ballon d'Or . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, January 09, 2013

Lionel Messi wins 2012 FIFA Ballon d'Or .


Lionel Messi
Jumatatu ya Januari 7 2013 Mchezaji wa FC Barcelona Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya Ballon D’or kwa mara ya nne na kuwapiga chini Wachezaji wenzake katika ushindani wa tuzo hiyo   Cristiano Ronaldo wa Real Madrid na Iniesta wa FC Barcelona ambapo sasa hivi Messi ndio mchezaji pekee alieishinda hiyo tuzo ya mchezaji bora wa dunia mara nne.



Toka amejiunga na club ya Barcelona 2004, mpaka sasa Messi ameifungia magoli 207 na timu yake ya taifa Argentina ameifungia magoli 44 toka ajiunge nayo U20 mwaka 2004.




YEAR WINNER CLUB COUNTRY
2012 Lionel Messi Barcelona Argentina
2011
Lionel Messi Barcelona Argentina 
2010 Lionel Messi Barcelona Argentina 
2009 Lionel Messi Barcelona Argentina 
2008 Cristiano Ronaldo Manchester United Portugal



ASILIMIA ZA KURA:

Messi: 41.6%

Ronaldo: 23.7%

Iniesta: 10.9%

Kufuatia ushindi wa Lionel Messi jana kwa kunyakua tuzo ya nne mfululizo ya Ballon d'Or, wachezaji wa Barca sasa wameshinda tuzo mara nyingi kuliko timu nyingine duniani - wakishinda mara 10.



Club za Juventus na AC Milan, wapo nafasi ya pili wakiwa na washindi wanane kila timu moja ili hali Club ya  Real Madrid wametoa washindi sita na Bayern Munich wanafunga 5 bora kwa kutoa washindi watano.




5 bora
ya Ballon d'Or
Gwiji Luis SuĂ¡rez alikuwa mchezaji wa kwanza FC Barcelona kushinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka 1960. Aliyefuatia alikuwa Johan Cruyff aliyeshinda mara mbili (1973 na 1974) na mwaka 1994 Hristo Stoichkov akaongeza nyingine. Miaka mitano baadae, mwakak 1999, Rivaldo akashinda tuzo na kuwafanya Barca iwe imetoa washindi watano. 2005 Ronaldinho akaongeza idadi.




Mourinho, Guardiola , Del Bosque
LISTI KAMILI YA WASHINDI
 


FIFA/FIFPro KIKOSI BORA DUNIANI 2012

KIPA: Iker Casillas


MABEKI: Dani Alves, Gerard Pique, Sergio Ramos, Marcelo.


VIUNGO: Xabi Alonso, Xavi, Iniesta.


MAFOWADI: Messi, Falcao, Ronaldo.


**WOTE WANATOKA TIMU 3: Real Madrid, Barcelona & Atletico Madrid.


FIFA KOCHA BORA DUNIANI-WANAWAKE 2012


- Pia Sundhage [Kocha wa USA]



FIFA KOCHA BORA DUNIANI-WANAUME 2012


-Vicente Del Bosque [Kocha wa Spain]


FIFA TUZO YA RAIS 2012


-Franz Beckenbauer [Germany]


FIFA TUZO YA UCHEZAJI WA HAKI 2012


-Shirikisho la Soka la Uzbekistan


FIFA TUZO YA PUSKAS [GOLI BORA] 2012


-Miroslav STOCH (Fenerbahçe-GençlerbirliÄŸi, 3 Machi 2012)


FIFA MCHEZAJI BORA DUNIANI-WANAWAKE 2012


-Abby WAMBACH [USA]


FIFA Ballon d’Or [MCHEZAJI BORA DUNIANI 2012]


-Lionel MESSI, Argentina




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad