![]() |
Azam FC |
Mbali ya
kutwaa Kombe, Azam FC pia walizawadiwa Shilingi Milioni 10 kama Washindi na
Tusker kupewa Milioni 5 kama Washindi wa Pili.
![]() |
Tusker FC |
Tusker ndio waliotangulia kufunga kwa Bao la
Jesse Were katika Dakika ya 60 na Azam FC kusawazisha kwa Penati ya Dakika ya
72 iliyotolewa kufuatia Luke Ochieng kuushika mpira na Atudo kufunga Penati
hiyo.
Bao hizo
zilidumu hadi Dakika 90 kumalizika na ndipo zikaongezwa Dakika 30 za Nyongeza
na Gaudence Mwaikimba kufunga Bao la Pili na la ushindi, Dakika ya Pili tu ya
Muda huo wa Nyongeza.
ORODHA YA
MABINGWA KOMBE LA MAPINDUZI
![]() |
Shujaa
Mwaikimba baada ya kufunga
bao
la kwa Azam FC ushindi usiku huu.
|
2003 Mtibwa Sugar
2004 Yanga SC
2005 Yanga SC
2006 Simba SC
2007 Yanga SC
2008 Simba SC
2009 Miembeni FC
2010 Mtibwa Sugar
2011 Simba SC
2012 Azam FC
2013 Azam FC
No comments:
Post a Comment