Santi Cazorla |
Arsenal
walitangulia mbele kwa bao 4-0 baada ya
Lukas Podolski kufungua goli moja na Santi Cazorla kupiga ma3 lakini Reading wakapata Bao mbili kupitia
Adam Le Fondre na Jimmy Kebe na kuifanya gemu iwe 4-2.
Hii ilikuwa
ni Mechi muhimu mno kwa Arsenal kushinda hasa baada ya Wiki iliyopita kubwagwa
nje ya CAPITAL ONE CUP na Timu ya Daraja la chini Bradford na kuleta mfarakano
kwa Wadau wao ambapo Mara ya mwisho Timu
hizi kucheza ilikuwa Uwanja huu huu wa Madejski na Arsenal kushinda Bao 7-5
kwenye Mechi ya CAPITAL ONE CUP.
MSIMAMO.
1 Man United
Mechi 17 Pointi 42
2 Man City
Mechi 17 Pointi 36
3 Chelsea
Mechi 16 Pointi 29 [Tofauti ya Magoli 11]
4 Tottenham
Mechi 17 Pointi 29 [Tofauti ya Magoli 5]
5 Arsenal
Mechi 17 Pointi 27 [Tofauti ya Magoli 13]
6 Everton
Mechi 17 Pointi 27 [Tofauti ya Magoli 7]
7 WBA Mechi
17 Pointi 27 [Tofauti ya Magoli 3]
8 Norwich
Mechi 17 Pointi 25
RATIBA MECHI
ZIJAZO:
Jumamosi 22
Desemba 2012
[SAA 9 Dak
45 Mchana]
Wigan v
Arsenal
[SAA 12
Jioni]
Man City v
Reading
Newcastle v
QPR
Southampton
v Sunderland
Tottenham v
Stoke
West Brom v
Norwich
West Ham v
Everton
[SAA 2 na
Nusu Usiku]
Liverpool v
Fulham
Jumapili 23
Desemba 2012
[SAA 10 na
Nusu Jioni]
Swansea v
Man United
[SAA 1
Usiku]
Chelsea v
Aston Villa
No comments:
Post a Comment