Lema,Mbowe
na Nassari katika
Mahakama ya rufaa Tanzania
jijini Dar es salaam
|
Lema
akianza kutoa hotuba fupi
baada ya kutoka mahakamani.
kulia ni Mbunge
Joshua Nassari.
|
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema(CHADEMA) ameshinda rufaa yake katika mahakama ya Rufaa jijini Dar es salaam na kurejea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia jimbo la Arusha mjini.
Wafuasi wa chama cha CHADEMA wamepita katika mitaa ya Posta asubuhi hii
huku wakishangilia na kuonyesha vidole viwili juu huku wakiimba Lema …..Lema.
Hukumu
imeangalia haswa swala la Locus Stand ya kama waliofungua kesi walikuwa na haki
kisheria ya kufanya hivyo.
Imeangaliwa
kwa kina na kuonekana kuwa kadiri ya pingamizi ya mawakili wa Lema Kimomogoro
na Tundu Lissu, waliofungua shitaka dhidi ya Lema hawakuwa na locus stand ya
kufanya hivyo.
Kwa hiyo
mengine yote yanakuwa null and void.
Hukumu
haikuchukua hata nusu saa,Hivyo basi Lema ni mbunge halali wa Arusha mjini
tangia leo.
Mawakili
wakiwa kwenye viti vyao.
|
Hawa ndiyo waliokuwa wamefungua kesi dhidi ya Lema wakiwa Mahakamani . |
Tundu Lisu mtetezi
wa Lema aliingia baada ya kesi kufika mahakama ya rufaa…….ameshangiliwa sana.
|
Hapa Lema
akiwa na Kilewo wakati wa maandamano ya kutoka mahakamani kuelekea makao makuu
ya CHADEMA.
|
No comments:
Post a Comment