Kijana Susuruka aliyeng’atwa
na kuliwa nyama ya uso
akiendelea
vema
na
matibabu yake
katika
Hospitali ya
Kibondo
–Kigoma.
|
Mbele ya Hakimu
wa wilaya Erick Marley, mwendesha
mashitaka wa Polisi Fadhil Tambale amemtaja mshitakiwa kuwa ni Iman Paul mwenye
umri wa miaka 27 mkazi wa Muhange ya juu wilayani Kakonko .
Tambale
amesema Novemba 15 mwaka huu mshitakiwa alisababisha madhara kwa kijana
aliyetambuliwa kwa jina moja la Susuruka.
Kijana Susuruka aliyeng’atwa
na kuliwa nyama ya uso
akiendelea
vema
na
matibabu yake
katika
Hospitali ya
Kibondo
–Kigoma.
|
Kwa upande
wake mshitakiwa Iman Paul amekana shitaka hilo na kupelekwa rumande.
Hakimu wa
wilaya ya Kibondo Erick Marley ameahirisha kesi hiyo mpaka Januari,7,2013 ili
kutoa nafasi kwa jeshi la Polisi kuendelea na upelelezi wa tukio hilo.
No comments:
Post a Comment