Tawi la
Benki ya CRDB Mjini Bujumbura nchini
Burundi.
|
Rais wa
Burundi Mheshimiwa Piere Nkurunziza akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa
Benki ya CRDB nchini Burundi. Kushoto ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt.Charles Kimei.
|
Rais wa
Burundi Mheshimiwa Piere Nkurunziza
akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB Tully Esther
Mwambapa alipokuwa akiwasili katika sherehe hizo.
|
Mwamuziki
maarufu wa Burundi Nimbona Jean
Pierre”KIDUMU” akitumbuiza kwenye hafla hiyo.
|
Wafanyakazi
wa Benki ya CRDB nchini Burundi wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi
wenzao kutoka Dar es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment