Petr
Cech-Chelsea.
|
Aidha
matokeo hayo yamemfanya kocha Rafael Benitez kushindwa kutwaa Taji lake la
kwanza kama Meneja wa Chelsea baada ya bao pekee la Mechi hiyo lililofungwa na
Paolo Guerrero katika Dakika ya 69 kwa kichwa akiwa katikati ya Wachezaji
watatu wa Chelsea.
Chelsea
wangeweza kulazimisha Mechi iende Dakika 30 za nyongeza lakini Fernando Torres
akiwa pekee na Kipa Cassio alimpelekea moja kwa moja Kipa huyo.
Nae
Gary Cahill ambae pia alikosa nafasi ya
wazi, alitolewa nje kwa Kadi Nyekundu baada ya kuvaana na Emerson katika tukio
ambalo mpira ulikuwa haupo kwao.
Corinthians |
Katika
Dakika za Majeruhi, Torres alitumbukiza mpira wavuni lakini Bao hilo
lilikataliwa kwa kuwa alikuwa Offsaidi.
Katika
mchezo wa kutafuta Mshindi wa 3
iliyochezwa leo kabla ya Fainali, Monterrey waliibuka washindi kwa Bao 2-0
walipoifunga Al Ahly ya Misri.
MABINGWA
WALIOPITA.
-2000
- Corinthians
-2005
- Sao Paulo
-2006
- Internacional
-2007
- AC Milan
-2008
- Manchester United
-2009
- Barcelona
-2010
- Inter Milan
-2011
- Barcelona
-2012
- Sport Club Corinthians Paulista
KLABU
BINGWA DUNIANI 2012-TIMU
ZITAKAZOSHIRIKI.
Corinthians-BINGWA
MAREKANI ya KUSINI
Monterrey-BINGWA
MAREKANI ya KATI NA KASKAZINI
Auckland
City-BINGWA KANDA ya OCEANIA
Usain
Hyundai-BINGWA-Barani Asia
Al
Ahly-BINGWA-Barani Afrika
Sanfrecce
Hiroshima-BINGWA-Japan J-LIGI
No comments:
Post a Comment