
Barani Afrika Tembo wa Africa ,Ivory Coast ndiyo wapo juu na wapo nafasi ya 16 ambayo ni ile ile kama ilivyokuwa Mwezi uliopita.
Timu ya taifa ya Colombia wameingia Kumi Bora baada ya kupanda nafasi 13 huku Denmark na Croatia zikiporomoka kutoka Kumi Bora.
Aidha Brazil ambao ni mabingwa wa Dunia mara 5, wameporomoka nafasi mbili na sasa wapo nafasi ya 14.
KUMI NA TANO BORA FIFA/COCA COLA:
1 Spain
2 Germany
3 Portugal
4 Argentina
5 England
6 Netherlands
7 Uruguay
8 Italy
9 Colombia
10 Greece
11 Croatia
12 Russia
13 France
14 Brazil
15 Switzerland
![]() |
Listi nyingine mpya itatolewa Novemba 7. |
No comments:
Post a Comment