![]() |
|
Southampton 2 Man United
|
Kocha
wa Manchester United Sir Alex Ferguson leo ameweka historia kubwa ya kuwa
Meneja wa kwanza kuongoza Klabu katika Mechi 1,000 za Ligi, tena Klabu moja tu,
na pia amethibitisha kumnunua Robin van Persie hakufanya makosa baada ya
Mchezaji huyo kupiga Hetitriki licha ya
pia kukosa Penati, na kuwapa ushindi Manchester United dhidi ya Southampton,
ushindi ambao ni mtamu sana kwao kwa vile walikuwa nyuma kwa Bao 2-1 huku
Dakika zimebaki 3 tu.
MAGOLI.
Southampton.
-Lambert, 16
-Schneiderlin, 55
Man United.
-Robin van Persie,
23, 87 na 90.
Hata hivyo
presha ya Dakika za mwisho na umahiri wa umaliziaji wa Robin van Persie ndio
uliwapa ushindi Man United.






No comments:
Post a Comment