Roma anasema
alikuwa yupo kwenye mwendo wa kawaida ndio tairi la mbele lilipopata pancha na
ndipo gari likaacha njia yake na kwenda kugongana uso kwa uso na fuso ambalo
lilikuwa upande wa pili na gari hilo dogo alilokuwa akiendesha Roma kurudi
lilipotokea.
Roma
ananiambia kwa sasa anaelekea Hospital kwa check up zaidi ila aliokuwa nao
kwenye gari hakuna aliyeumia wote ni wazima.
![]() |
Huyu ni mmoja kati ya marafiki wa Roma aliyekuwa nae kwenye
gari wakielekea Morogoro kwenye show
|
![]() |
Roma akimwelezea police wa usalama barabarani kilichotokea
mpaka kupata ajali hiyo mbaya.
|
Source DJ CHOKA.
No comments:
Post a Comment