![]() |
Kikosi cha timu ya Walimu FC. |
Kwa mujibu
wa msimamizi wa uchaguzi huo kutoka chama cha soka wilaya ya Ngara mkoani
Kagera NDFA Seif Omary Upupu aliyechaguliwa katika nafasi ya Mwenyekiti ni
Supery Jeremiah kwa kupata kura 13 ili hali Makamu wake ni Hezron Kayanda kwa
kura 14.
Kwa upande wa katibu mkuu ni Faustine Malulu
aliyechaguliwa kwa kura 16 huku msaidizi wake ni Vedastus Gunda kura 14 pamoja
na Denice Mutasigwa kura 2.
Waliochaguliwa
katika nafasi ya mweka hazina ni pamoja na Rosemary Pastory kura 14 na Neema
Rujuba kura 0 huku Katibu mwenezi akichaguliwa
Godfrey Cyprian kura 16.
No comments:
Post a Comment