Hapo jana usiku
kwenye Mechi za Raundi ya Tatu ya Mtoano ya EUROPA LIGI Klabu Vigogo,
Liverpool, Inter Milan na Timu iliyofungwa kwenye Fainali ya Kombe hili Mwezi
Mei Athletic Bilbao, zote zilianza vyema katika Mechi zao za kwanza kwa
Liverpool kushinda ‘kiduchu’ ugenini huko Belarus huku Inter Milan ikitwanga
3-0 ugenini huko Croatia na Bilbao kushinda nyumbani bao 3-1.
Liverpool
iliifunga FC Gomel bao 1-0 ugenini kwa bao la Dakika ya 68 la Stewart Downing.
Inter Milan
wao waliichapa Klabu ya Croatia HNK Hajduk Split bao 3-0 kwa bao za Wesley
Sneider, Yuto Nagatomo na Philippe Coutinho.
Nao Athletic
Bilbao, waliocheza nyumbani, waliifunga Klabu nyingine kutoka Croatia NK Slaven
Koprivnica bao 3-1 kwa bao za David Lopez, bao mbili, na Markel Susaeta
Laskurain na bao la NK Slaven Koprivnica lilifungwa na Delic.
Marudiano ya
Raundi ya Tatu ya Mtoano ni Agosti 9.
YAFUATAYO NI
MATOKEO YA MECHI ZOTE 29:
RAUNDI YA
TATU YA MTOANO:
MATOKEO
Mechi za Kwanza:
Alhamisi
Agosti 2
FC Anzhi - 2 Vitesse Arnhem - 0
DILA Gori -
0 Anorthosis Famagusta FC – 1
Apoel
Nicosia - 2 Aalesunds FK – 1
Ried - 2 Legia Warsaw - 1
Tromso -
1 FC Metalurg Donetsk - 1
Ruch Chorzow
SA - 0 FC Viktoria Plzen - 2
Horsens - 1 Elfsborg – 1
Bnei Yehuda
- 0 PAOK FC – 2
FC Twente
Enschede - 2 Mlada Boleslav - 0
Servette - 1 Rosenborg BK – 1
KRC Genk -
2 Aktobe - 1
FC Steaua
Bucuresti - 0 Trnava – 1
FC Gomel - 0 Liverpool – 1
Asteras
Tripolis FC - 1 Maritimo – 1
St Patrick - 0 Hannover 96 – 3
Athletic de
Bilbao - 3 NK Slaven Belupo – 1
Vojvodina -
2 SK Rapid Wien – 1
HNK Hajduk
Split – 0 Inter Milan - 3
Videoton
Szekesfehervar - 1 KAA Gent – 0
Dundee
United FC - 2 Dinamo Moscow - 2
AIK Solna -
3 KKS Lech Poznan - 0
FK Sarajevo
- 2 Zeta – 1
SC
Heerenveen – 4 FC Rapid Bucuresti – 0
KuPS -
1 Bursa Bursaspor – 0
Arsenal Kyiv
- 3 Mura – 0
Kalmar - 1 BSC Young Boys – 0
FK Crvena
zvezda - 0 Omonia Nicosia FC – 0
EskiÅŸehirspor
- 1 Olympique de Marseille - 1
Trenkwalder
Admira - 0 AC Sparta Prague - 2
No comments:
Post a Comment