![]() |
Shamba bora la Mihogo. |
Wananchi wa Mkoa wa Kagera mnaombwa kushiriki katika maadhimisho ya maonyesho ya NANE NANE mwaka 2012 Katika uwanja wa Kyakailabwa nje kidogo ya mji wa Manisaa ya Bukoba.
Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 01/08/2012 na yataendelea mpaka kilele ambacho ni tarehe 08/08/2012 na kwamba Uzinduzi rasmi utafanyika tarehe 03/08/2012 siku ya Ijumaa kuanzia asubuhi saa 3:00.
![]() |
Shamba bora lililofata kanuni za kilimo likiwa limepandwa mahindi na maharage. |
No comments:
Post a Comment