Kwa viwango vya Juni mwaka huu, Tanzania (Taifa Stars) ambayo timu yake inadhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ilikuwa namba 139 hivi sasa imefika nafasi ya 127 ikiwa na pointi 253 kulinganisha na 214 za Juni mwaka huu.
Ivory Coast inayoshika nafasi ya 16 duniani bado inaongoza kwa upande wa Afrika ikiwa na pointi 939. Timu hiyo ilikuwa katika nafasi hiyo hiyo kwa viwango vilivyotolewa Juni 6 mwaka huu. Hispania ambao ni mabingwa wa Ulaya na Dunia ndiyo wanaoendelea kuongoza kwa kukamata nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 1,691.
Hispania ,
ambao ndio Mabingwa wa Ulaya na Dunia, wameendelea kushika Nambari Wani kwenye
Listi ya FIFA/Coca Cola ya Ubora Duniani iliyotolewa leo huku Tanzania ikipanda
nafasi 12 na kushikilia Nambari 127.







No comments:
Post a Comment