![]() |
Mashabiki wa timu ya Simba wakiwa wamefurika katika uwanja wa Taifa kujionea timu yao ikicheza katika mechi zake mbalimbali. |
Bao za URA katika mchezo huo zilifungwa na Owen Kasule katika Dakika ya 11 na Feni Ally kwenye Dakika ya 92.
Katika Mechi nyingine ya Kundi A iliyochezwa mapema huko Uwanja wa Chamazi, kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam, matokeo yalikuwa Vita Club ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC kuibuka na ushindi wa Bao 7 na Ports ya Djibouti 0.
![]() |
Wachezaji wa Azam FC |







No comments:
Post a Comment