Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Mjini Dar es Salaam ikiwa ni Mechi mbili za ufunguzi za Kundi C , Atletico ya Burundi walionekana kumiliki sana mpira kuliko Yanga, na nafasi kadhaa walizotengeneza wamefanikiwa kuzitumia vizuri mbili na kupeleka kupata ushindi huu.
Mashindano
ya Mwaka huu yanashirikisha Vilabu 11 ambavyo vyote vimeripotiwa na TFF kuwa
vimeshaingia Jijini Dar es Salaam na kupangiwa Hoteli mbali mbali.
Timu hizo 11 zimepangwa katika Makundi matatu yatakayocheza Mtindo wa Ligi na Timu tatu tatu, kutoka Kundi A na C yenye Timu 4 kila moja, na Timu mbili toka Kundi B, lenye Timu 3, ndizo zitaingia Robo Fainali itayochezwa kuanzia Julai 23.
Timu hizo 11 zimepangwa katika Makundi matatu yatakayocheza Mtindo wa Ligi na Timu tatu tatu, kutoka Kundi A na C yenye Timu 4 kila moja, na Timu mbili toka Kundi B, lenye Timu 3, ndizo zitaingia Robo Fainali itayochezwa kuanzia Julai 23.
KUNDI A
Timu 3
kwenda Robo Fainali.
Simba
URA [Uganda]
Vita [Congo
DR]
Ports
[Djibouti]
KUNDI B
Timu 2
kwenda Robo Fainali.
Azam FC
Mafunzo
[Zanzibar]
Tusker
[Kenya]
KUNDI C
Timu 3
kwenda Robo Fainali.
Yanga
APR
[Rwanda]
Wau Salaam
[Sudan Kusini]
Atletico
[Burundi]
RATIBA:
Julai 14
Jumamosi
1 APR
vs WAU SALAAM [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
2 YANGA 0 vs
2 ATLETICO SALAAM [Uwanja wa Taifa, Saa
10 Jioni]
Julai 15
Jumapili
3 AZAM vs
MAFUNZO [Chamazi Saa 10 Jioni]
4 VITA CLUB
vs PORTS [Chamazi, Saa 8 Mchana]
5 SIMBA vs
URA [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 17
Jumanne
6 ATLETICO
vs APR [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
7 WAU SALAAM
vs YANGA [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Jumatano
Julai 18
8 VITA CLUB
vs URA [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
9 PORTS vs
SIMBA [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 19
Alhamisi
10 ATLETICO
vs WAU SALAAM [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
11 MAFUNZO
vs TUSKER [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 20
Ijumaa
12 PORTS vs
URA [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
13 YANGA vs
APR [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 21
Jumamosi
14 AZAM vs
TUSKER [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
15 SIMBA vs
VITA CLUB [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
ROBA
FAINALI
Julai 23
Jumapili
16 B2 vs C2
17 A1 vs C3
Julai 24
Jumatatu
18 C1 vs A2
19 B1 vs A3
NUSU
FAINALI
Julai 26
20 Mshindi
16 vs Mshindi 17
21 Mshindi
18 vs Mshindi 19
Mshindi
wa 3:
Julai 28
Jumamosi
Aliefungwa
20 vs Aliefungwa 21
FAINALI:
Julai 28
Jumamosi
23 Mshindi
20 vs Mshindi 21








No comments:
Post a Comment