![]() |
Gari juu pichani na Helkopta ya
Jeshi la Zimamoto la Rwanda ikiwa angani eneo la Rusumo (Mpakani mwa Tanzania na Rwanda ) wilaya ya Ngara mkoani
Kagera ikizima moto ulioteketeza magari sita na trekta moja na moto huo kusababisha kifo cha dereva na utingo
kujeruhiwa hii jana August 19/2018.
![]() |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmkOeG-Yi4KwROo9REhgNzd9RbzUYavG40DDtQcpH1JVJdU6J1GrhAdAcbi_50CLyTh8PKruY4llJPtsTPLGQNn7RuSj_LVaIIQ_baZRGaGzPXG7MYDx5hKhCaWgXhUFf13jb7cIMzhQQ1/s640/39883605_2123462491314050_363290006300655616_n.jpg)
![]() |
Mkuu wa
Wilaya Ngara Luteni Kanali Michael Mtenjele amesema kwa sasa Halmashauri ya
wilaya hiyo haina uwezo wa kununua gari kwa ajili kuzuia majanga yanayotokana
na moto kwani mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo hayajitoshelezi.
Akizungumza
na Redio Kwizera kwa mahojiano maalumu amesema bei kwa ajili ya kununua gari hilo
ni kubwa na halmashauri haina uwezo wa kununua gari la Zimamoto.
Hata hivyo
amesema tayari wilaya ya Ngara imeshapelekea ombi kwa Kamishna Mkuu wa Zimamoto kwa ajili ya
kupatiwa gari hilo lakini hadi sasa hawajapata jibu lini wilaya itapatiwa gari
hilo.
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfkQlj77nbDnnR9k3pEnMsHKLRsSlLewP8jkV7TpNH_0-0xdISvV8DUTeUv4MZG4_NmvngEXwuyBQ-7N_daNR-04b6d2hgAN3l8Av8LlmsEfLr47DoczSr0wUCU313lY-J6OzYlNiVmnN6/s640/39467577_1762724627178034_3700738641950146560_n.jpg)
No comments:
Post a Comment