Mkuu wa wilaya ya Ngara.
Jumla ya
Miradi 1,704 yenye thamani ya shilingi bilioni 72 imetekelezwa na mpango
wa kunusuru kaya maskini TASAF awamu ya kwanza na miradi 12,347 yenye
thamani ya shilingi bilioni 430 imetekelezwa katika awamu ya pili.
|
![]() |
Akina Mama
wa Buhororo,Ngara wakisikiliza kwa makini maelezo juu ya Mradi.
Mafunzo hayo
yana lengo la kuwapa Wakuu wa Idara mbizu za utambuzi wa uwekaji akiba na
kukuza uchumi wa kaya zinazonufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF
wilayani Ngara.
|
No comments:
Post a Comment