![]() |
|
Klabu ya
Simba SC imekuwa na utaratibu wa kuwafikia watu wenye kwenda mbali zaidi katika
kuonesha mapenzi na ushabiki wao kwa wachezaji na kikosi kizima cha Simba.
Msimu
uliopita wa 2016/2017 Simba SC ilimtafuta kijana Aziz wa mkoani Dodoma baada ya
kuonesha mapenzi yake kwa mshambuliaji Ibrahim Ajib ambaye alikuwa akichezea
timu hiyo kabla ya kuhamia Yanga msimu huu.
|
Sunday, November 12, 2017
Klabu ya Simba SC inamsaka Mtoto huyu.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment