![]() |
|
Watu hao waliokuwa
wakitumia gari hilo walikuwa wakitoka kwenye
shughuli za kikazi za kila siku.
Majeruhi wa
ajali hiyo wamepelekwa katika hospitali ya Murgwanza wilayani Ngara huku mwili wa
Mtu aliyepoteza maisha katika ajali hiyo
ikihifadhiwa katika hospitali hiyo.
|
Monday, October 30, 2017
Update Ajali ya Gari la Tanesco Ngara-Yaua Mtu mmoja na Kujeruhi Watano.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment