|
Pichani ni Mbunge wa
Kigoma mjini, Zitto Kabwe ameuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na Mpenzi
wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote
zimefanyika Zanzibar hapo Jana July 14, 2016.
Hapa Chini ni Picha 5
za kutoka kwenye eneo la tukio hilo.
|
No comments:
Post a Comment