PICHA 3 :-Msafara wa Dkt Harrison Mwakyembe Ukipata Ajali Leo July 13, 2016 –Bwanga mkoani Geita. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, July 13, 2016

PICHA 3 :-Msafara wa Dkt Harrison Mwakyembe Ukipata Ajali Leo July 13, 2016 –Bwanga mkoani Geita.

Msafara wa Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania , Dkt. Harrison Mwakyembe umepata ajali ambapo gari la DPP limepata ajali na kupinduka baada ya tairi la mbele kulia kupasuka,Katika eneo la Bwanga mkoani Geita wakati wa msafara ukielekea Chato kutokea Geita.

Habari zainasema  gari hilo  limeishainuliwa  na safari inaendelea.

Chanzo cha ajali hiyo kinaelezewa kuwa ilikuwa kuwakwepa  watoto wawili waliovuka barabara ghafla na bila tahadhali.

Dereva na Abiria wote akiwemo Mkurugenzi wa makosa ya jinai Mhe. Biswalo Mganga na msaidizi wake inasemekana wametoka salama.BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad