![]() |
Wabunge Wanawake wa Upinzani wametoka
wote nje ya Bunge kwa madai ya kudhalilishwa bungeni na Mbunge wa jimbo la
Ulanga Goodluck Mlinga (CCM ) aliyedai jana kuwa viti maalum Ukawa hutolewa kwa
rushwa ya ngono.
Mlinga alitoa kauli hiyo Jana,Al hamis,May 05,20165,wakati
akichangia hotuba Wizara ya Katiba na Sheria
ambapo alisema ili uweze kuwa mbunge wa viti maalum chadema, lazima
ufanye mapenzi na kiongozi wako wa chama.
Wabunge hao leo asubuhi waliomba mwongozo kwa Naibu Spika kupitia kwa
Mbunge Sophia Mwakagenda wa viti maalumu (Chadema)kumtaka mbunge huyo
athibtishe kauli yake lakini
hawakusikilizwa na badala yake Naibu spika aliwataka wakae chini.
Baada ya mabishano ya dakika kadhaa
pasi kusikilizwa, wabunge hao walisimama wote na kuamua kutoka nje ya ukumbi wa bunge huku wakiahidi kuja na
tamko kali kuhusu udhalilishaji waliofanyiwa.......HAPA BOFYA ………..==>Msikilize hapa Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake CHADEMA, Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, baada ya wabunge hao kutoka nje
|
Friday, May 06, 2016
Home
SIASA
BUNGENI DODOMA:- Wabunge Wanawake UKAWA watoka nje ya Bunge baada ya Mbunge wa CCM Kuwatuhumu Kwamba Wamepata Ubunge Kwa Kufanya Mapenzi na Viongozi Wao.
BUNGENI DODOMA:- Wabunge Wanawake UKAWA watoka nje ya Bunge baada ya Mbunge wa CCM Kuwatuhumu Kwamba Wamepata Ubunge Kwa Kufanya Mapenzi na Viongozi Wao.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment