![]() |
|
Jopo la
kuongoza shughuli ya upasuaji kwa sokwe huyo liliongozwa na Profesa David
Cahill aliyeitwa kutoka hospitali ya kina mama NHS na mtoto wa kike alizaliwa
kwa oparesheni hiyo.
Kumekuwa na
sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani,kisa cha hivi
karibuni kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.
|
Tuesday, February 23, 2016
UFAHAMU:-Sokwe Ajifungua Kwa Upasuaji .
Tags
# DONDOO
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment