Katika Mechi
ya Yanga SC na JKT Mlale, Yanga SC walitoka nyuma kwa Bao 1 na Paul Nonga na Thaban
Kamusoko kuwafungia Bao zao huko mpishi wa Bao zote akiwa Geofrey Mwashiuya.
Ushindi huu
umewaingiza Yanga SC hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho.
KOMBE LA
SHIRIKISHO
Raundi ya 4
Ratiba/Matokeo
Jumatano
Februari 24,2016.
Yanga SC 2 - 1 JKT
Mlale
Ijumaa Feb
26,2016.
Ndanda FC v
JKT Ruvu
Coastal
Union v Mtibwa Sugar
Jumamosi Feb
27,2016.
Mwadui FC v
Rhino Rangers
Tanzania
Prisons v Mbeya City
Jumapili Feb
28,2016.
Panone FC v
Azam FC (Ushirika, Moshi)
Simba SC v
Singida United
Toto
Africans v Geita Gold
Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari kwa WhatsApp +255789925630 Or +255756830214.
|
No comments:
Post a Comment