![]() |
Nae Afisa Usafi
na Mazingira Wilayani Ngara Bw. Waziri
Nicholaus amesema elimu imetolewa kwa wadau wa mazingira waweze kuhamasisha
jamii kutunza na kusafisha mazingira huku akisisitiza matumizi ya nishati
mbadala kwa lengo la kupunguza matumizi makubwa ya mkaa yanayosabisha uharibifu
wa mazingira
Maadhimisho
ya Siku ya Mazingira Duniani hufanyika Juni 05 kila mwaka ambapo kwa mwaka huu
imeadhimishwa chini ya kauli mbiu inasemayo MKAA NI GHARAMA TUTUMIE NISHATI MBADALA.
![]() |







No comments:
Post a Comment