Vijana wa
kijii cha Nyabibuye wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wakihamisha magunia ya
Tangawizi kutoka kwenye Lori ambalo lilishindwa kupita kwenye daraja la
kijiji hicho hivi karibuni kutokana na wingi wa magunia na barabara
kudidimia ikiwa kwenye matengenezo . Magunia ya Tangawizi yalikuwa yakisafirishwa kutoka wilaya ya Kasulu mkoani humo hadi mkoa wa Muyinga nchini Burundi. |
Thursday, May 24, 2018
Taswira Lori likikwama Darajani -Nyabibuye,Kakonko Kigoma.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment