Vikao vya Bungela Tanzania kuanza kesho Aprili 03,2018. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 02, 2018

Vikao vya Bungela Tanzania kuanza kesho Aprili 03,2018.

Mkutano wa 11 wa Bunge unatarajiwa kuanza kesho Aprili 3 na kumalizika Juni 29, 2018 Mjini Dodoma.

Kutakuwa na kiapo cha Uaminifu kwa Wabunge wapya wawili, Dkt. Godwin Mollel (Siha) na Maulid Mtulia (Kinondoni).

HII NI TAARIFA KAMILI HAPA CHINI.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad