Kamanda wa Polisi
mkoa wa Kigoma Naibu Kamishna wa Polisi Ferdinand Mtui amesema zaidi ya watu
hamsini wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo lililotokea Jana September 4,2017 huku
Kaimu mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Marco Gaguti ambaye pia ni mkuu wa wilaya
ya Buhigwe akitoa wito kwa wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi.
|
Tuesday, September 05, 2017
Home
HABARI
Zaidi ya Watu 50 wakamatwa na Jeshi la Polisi Kigoma kwa tuhuma za Mauaji na kuharibu Mali kwa kuchoma Moto kijiji cha Kabanga.
Zaidi ya Watu 50 wakamatwa na Jeshi la Polisi Kigoma kwa tuhuma za Mauaji na kuharibu Mali kwa kuchoma Moto kijiji cha Kabanga.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment