Taswira Picha Abiria wakinusurika Kifo baada ya Basi la Nyehunge kushindwa kupanda Mpando wa K9-Ngara. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, July 12, 2017

Taswira Picha Abiria wakinusurika Kifo baada ya Basi la Nyehunge kushindwa kupanda Mpando wa K9-Ngara.

Abiria wa Basi la Nyehunge kutoka Ngara mkoani Kagera kwenda Jijini Mwanza asubuhi ya Leo July 12, 2017 wamenusurika Kifo baada ya basi hilo lenye namba za usajili T 136 AHY kushindwa kupanda mpando wa mlima wa K9 barabara kuu ya Ngara –Benaco na kurudi nyuma hali iliyozua taharuki wa abiria waliokuwemo.

 Katika ajali hiyo hakuna majeruhi na abiria wametafutiwa usafiri mwingine na kuendelea na safari kama kawaida.


 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad