Lady Jay Dee Kuwaburudisha Mashabiki wake Muleba, Ngara na Karagwe July 21 hadi 23,2017. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, July 15, 2017

Lady Jay Dee Kuwaburudisha Mashabiki wake Muleba, Ngara na Karagwe July 21 hadi 23,2017.

Judith Daines Wambura Mbibo  ni mwanamuziki wa Bongo Flava-Afro Pop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Lady Jay Dee.

Anataraji kufanya ziara ya kuwatumbuiza Mashabiki wake Mkoani Kagera kuanzia July 21 hadi 23, 2017 ambapo ataanzia wilayani Muleba Ijumaa July 21, 2017 katika ukumbi wa NULPHIN HOTEL kwa Kiingilio cha Tsh.5,000/= tu.

Wilayani Ngara ni Jumamosi ya July 22, 2017 katika Ukumbi wa MOORLAND PREMIER HOTEL’S kwa kiingilioa cha VIP Tsh.8,000/= na Kawaida Tsh.5,000/=

Wakati siku ya Jumapili July 23, 2017 atamalizia ziara yake Wilayani Karagwe katika Ukumbi wa KDRDP kwa kiingilio cha Tsh.5,000/= tu.

Hakika si ya kukosa Tour hii ya -Lady Jay Dee

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad