Tumia akaunti mbili za WhatsApp kwenye Simu moja. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, June 27, 2017

Tumia akaunti mbili za WhatsApp kwenye Simu moja.

Utumiaji wa simu za smartphone umeweza kusababisha kuanzishwa kwa app nyingi zaidi duniani, hivyyo kupeleka watumiaji kutamani kuongeza application hizo kila kukicha.

Application ya whatsapp ni moja ya app inayotumiwa zaidi kwa sasa, kwa kuzingatia hilo wameamua kuongeza whatsappna kuwa mbili kwenye simu yako. Hivyo basi unaweza kufuta maelekezo ilikuweka whatsapp hiyo katika simu.

Hatua ya kwanza

Download App inayoitwa parallel space kwenye play store

Hatua ya pili

Kama simu yako ni line moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whatsapp yako ya pili

Hatua ya tatu.

Install application uliyo download kwenye Step 1(parallel space ), kisha ifungue.

Hatua ya nne

Utakapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka number ya simu hapo utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na whatsapp mbili

Hatua ya tano.

Utaendelea na Steps za kawaida utakazo onyeshwa kama ulivyojiunga na WhatsApp ya kwanza.

Hitimisho:

Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na kuanza kutumia whatsapp mbili kwenye simu moja, nakutakia kila la kheri.

Chanzo : Mtandao

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad