Kibali cha kusafirisha Mizigo (C28) cha kwamisha Magari ya Mizigo zaidi ya 200 kuingia nchini Burundi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, January 10, 2017

Kibali cha kusafirisha Mizigo (C28) cha kwamisha Magari ya Mizigo zaidi ya 200 kuingia nchini Burundi.


Madereva wa Tanzania wanaoendesha magari ya mizigo zaidi ya 200 kuingia nchini Burundi wameshindwa kuendelea na safari yao wakitakiwa kuonesha vibali vya kusafirisha mizigo yao (C28) baada ya vibali walivyooonesha kukataliwa na uongozi wa Burundi ikiwa ni siku ya tano wakiishi mpakani upande wa Tanzania.

Pichani juu na chini,Magari hayo ya mizigo yakiwa yamepaki katika mpaka wa Kabanga wilayani Ngara,mkoani Kagera unaounganisha nchi ya Tanzania na Burundi katika. 






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad