TAZAMA PICHA:-Mbwa wakali wa Wawindaji wa Wanyama Waharibifu wa Mazao toka Mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, July 07, 2016

TAZAMA PICHA:-Mbwa wakali wa Wawindaji wa Wanyama Waharibifu wa Mazao toka Mkoani Kagera.


Pichani Juu na Chini ni  wawindaji wa wanyama waharibifu wa mazao, kikundi cha ABATEKANASHA kutoka Kata ya Nyakibimbili, Bukoba Vijijini mkoani Kagera ambao wamealikwa Kata ya Kanyigo, wilyani Misseny kwa shughuli hiyo Julai 8 hadi 12,2016.

Mbwa wao mmoja humthamanisha na  ng'ombe mzima.Picha kwa Hisani ya Mutayoba Arbogast.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad