Bao la Pili
la Yanga SC lilifungwa Dakika ya 47 na Donald Dombo Ngoma baada ya kupokea pasi
safi kutoka kwa Thaban Kamusoko.
Katika
Dakika ya 57 Amisi Tambwe aliipa Yanga SC Bao la 3 na hilo ni Bao lake la 11
kwenye VPL likimfanya azidi kupaa juu kileleni katika Safu ya Mfungaji Bora.
|
Tambwe tena
akaipa Yanga SC Bao la 4, likiwa Bao lake la 12 kwenye VPL, katika Dakika ya 72
baada ya muvu murua ya Timu ya Yanga SC .
Yanga SC walifunga
Bao lao la 5 Dakika ya 88 Mfungaji akiwa tena Tambwe akipiga Bao hilo, likiwa
lake la 13 kwa VPL, na ni Hetitriki kwa Mechi hii.
Ushindi huu
umewapa Yanga SC uongozi wa VPL wakiwa na Pointi 39 kwa Mechi 15 sawa na Azam
FC lakini wao wako juu kwa ubora wa Magoli.
Matokeo ya
mechi nyingine zilizopigwa leo kwenye viwanja tofauti na uwanja wa taifa ni
kama ifuatavyo:
Mwadui FC
2-1 Kagera Sugar
Mtibwa Sugar
0-0 African Sports
|
LIGI KUU
VODACOM TANZANIA BARA 2015/2016.
Ratiba:
Jumamosi
Januari 22,2016.
Coastal
Union v Yanga SC
Simba SC v
African Sports
JKT Ruvu v
Majimaji
Tanzania
Prisons v Azam FC
Mtibwa Sugar
v Stand United
Mwadui FC v
Toto Africans
|
No comments:
Post a Comment