UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2015/2016:- Tazama Msimamo na Matokeo ya Mechi za 3 kwa kila timu. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, October 22, 2015

UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2015/2016:- Tazama Msimamo na Matokeo ya Mechi za 3 kwa kila timu.

Usiku wa jana October 21,2015, Mechi 8 za Makundi A hadi D ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2015 / 2016  ambazo ni Mechi za 3 kwa kila Timu, zilichezwa ,sambamba na zile za October 20,2015 na ifuatayo ni MATOKEO MECHI ZA JUMANNE NA JUMATANO. 

Uwanja wa Parc des Princes, Paris ulishuhudia Sare ya 0-0 kwenye Mechi ambayo ilitegemewa ndio Bigi Mechi  kwa Paris St Germain walipotoka 0-0 na Real Madrid katika Mechi ya Kundi A.

October 21, 20115.  

October 20, 20115.  

Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad